seanphillip.blogspot.com
Allen Sean Phillip: NIMEFANYA KILA NALOTAKA KATIKA UJANA WANGU SASA NIMEAMUA KUTULIA NA HUYU!!.
http://seanphillip.blogspot.com/2013/06/nimefanya-kila-nalotaka-katika-ujana.html
Wanasema inawezekana kisiwa kikawa cha kwako lakini maji ninayamiliki mimi. Tuesday, June 4, 2013. NIMEFANYA KILA NALOTAKA KATIKA UJANA WANGU SASA NIMEAMUA KUTULIA NA HUYU! Bondia Amir Khan akiwa na mke wake Faryal Makhdoom. Amir Khan 26 mwishoni mwa wiki iliyopita amefunga ndoa na Faryal Makhdoom katika sherehe ya kimila iliyofanyika katika hoteli ya Waldolf Astoria huko jijini New York. August 6, 2015 at 2:59 PM. JUAL ALAT SEX IMPORT. TOKO ALAT BANTU SEX IMPORT. PENGHILANG DAN PENGHAPUS TATTO PERMANEN.
viwanja.blogspot.com
XTRA COVER.: SIKUSTAHILI KUFANYA VILE.
http://viwanja.blogspot.com/2011/09/sikustahili-kufanya-vile.html
KARIBU KWENYE BLOGU YA XTRA COVER ILI UWEZE KUFAHAMU YALE YANAYOTOKEA NJE YA MIPAKA YA NCHI YETU, PIA WAWEZA KUTOA MAONI YAKO KWA TAARIFA YOYOTE ITAKAYO KUKUNA. Friday, September 30, 2011. Siku mbili kabla ya mchezo wa ligi kuu ya soka nchini Uingereza ambao utawakutanisha mahasimu wa kaskazini mwa jiji hilo, Tottenham Hotspurs dhidi ya Arsenal, mshambuliaji aliesajiliwa kwa mkopo huko White Hart Lane akitokea Man City Emmanuel Sheyi Adebayor, ametamba kuifunga The Gunners katika mchezo huo. Amesema anat...
viwanja.blogspot.com
XTRA COVER.: King Kenny Dalglish AWAHUSIA MABEKI WAKE.
http://viwanja.blogspot.com/2011/09/king-kenny-dalglish-awahusia-mabeki.html
KARIBU KWENYE BLOGU YA XTRA COVER ILI UWEZE KUFAHAMU YALE YANAYOTOKEA NJE YA MIPAKA YA NCHI YETU, PIA WAWEZA KUTOA MAONI YAKO KWA TAARIFA YOYOTE ITAKAYO KUKUNA. Friday, September 30, 2011. King Kenny Dalglish AWAHUSIA MABEKI WAKE. Meneja wa majogoo wa jiji Liverpool King Kenny Dalglish ameitaka safu ya ulinzi ya kikosi chake kufanya juhudui ambazo zitawawezesha kufanya kazi kwa pamoja kwa lengo la kutoruhusu kufungwa katika mchezo wa ligi dhidi ya Everton utakaochezwa kesho huko Goodson Park. HIVI SASA N...
shebbykondo.blogspot.com
PUNTERVERDE.: ALAMA TATA !!!!!!!!!!!!!
http://shebbykondo.blogspot.com/2009/12/alama-tata.html
Karibu sana katika blog yangu, Waweza kutoa maoni yako kadha wa kadhalika. Wednesday, 2 December 2009. Tafadhali ninahitaji msaada wako kwa hali na mali, hapa Kamanda Kova alikua akitoa Amri ama alikuwa akimaanisha mambo safi? Posted by SHABANI O. KONDO. Mmmmh kwa upande wangu ni kama alikuwa anaamru watu kwenda kufanya jambo fulani au kwenda kufanya kazi wanazotakiwa kufanya kila siku. 4 December 2009 at 20:48. Subscribe to: Post Comments (Atom). HIVI SASA NI SAA. SHABANI O.S KONDO.
shebbykondo.blogspot.com
PUNTERVERDE.: Spider man in Dubai.
http://shebbykondo.blogspot.com/2009/12/spider-man-in-dubai.html
Karibu sana katika blog yangu, Waweza kutoa maoni yako kadha wa kadhalika. Sunday, 13 December 2009. Spider man in Dubai. Huyu jamaa anapanda majumba marufu bila support yeyote ile (hatumii kamba! Posted by SHABANI O. KONDO. Subscribe to: Post Comments (Atom). HIVI SASA NI SAA. SHABANI O.S KONDO.
shebbykondo.blogspot.com
PUNTERVERDE.: MASHIMO SABA YA AJABU.
http://shebbykondo.blogspot.com/2009/12/mashimo-saba-ya-ajabu.html
Karibu sana katika blog yangu, Waweza kutoa maoni yako kadha wa kadhalika. Sunday, 13 December 2009. MASHIMO SABA YA AJABU. Yote haya ni maajabu yake Mwenyezi mungu kwa kutuonyesha sisi wanaadamu kwamba ulimwengu ni mpana na ni mkubwa hivyo hakuna ambae anaweza kuubadili ila yeye pekee! Posted by SHABANI O. KONDO. Subscribe to: Post Comments (Atom). HIVI SASA NI SAA. SHABANI O.S KONDO.
viwanja.blogspot.com
XTRA COVER.: MAANDALIZI YA LIGI YA MABINGWA AFRIKA.
http://viwanja.blogspot.com/2011/10/maandalizi-ya-ligi-ya-mabingwa-afrika.html
KARIBU KWENYE BLOGU YA XTRA COVER ILI UWEZE KUFAHAMU YALE YANAYOTOKEA NJE YA MIPAKA YA NCHI YETU, PIA WAWEZA KUTOA MAONI YAKO KWA TAARIFA YOYOTE ITAKAYO KUKUNA. Saturday, October 1, 2011. MAANDALIZI YA LIGI YA MABINGWA AFRIKA. Beki kutoka nchini Ghana pamoja na klabu ya Esperance ya nchini Tunisia Harrison Afful amesema ushirikiano na umoja ndani ya kikosi cha klabu hiyo, anaimani utakua chachu katika muendelezo wa kusaka mafanikio kwenye michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika. Harrison Afful anatara...
shebbykondo.blogspot.com
PUNTERVERDE.: UJUMBE KWA WAISLAMU WOTE DUNIANI.
http://shebbykondo.blogspot.com/2009/11/ujumbe-kwa-waislamu-wote-duniani.html
Karibu sana katika blog yangu, Waweza kutoa maoni yako kadha wa kadhalika. Saturday, 28 November 2009. UJUMBE KWA WAISLAMU WOTE DUNIANI. Posted by SHABANI O. KONDO. Labda niseme UJUMBE ULITOLEWA NA TAASISI, JUMUIYA AMA WA-ISLAMU lakini huu ni UKWELI WA MAISHA na unapaswa kusomwa na kufuatwa na kila kiumbe. Asante kwa ujumbe huu. 29 November 2009 at 08:56. Subscribe to: Post Comments (Atom). HIVI SASA NI SAA. SHABANI O.S KONDO.
shebbykondo.blogspot.com
PUNTERVERDE.: KWA KINA NGOSHA KUNABADILIKA!!!!!!!!!!!!!!!!
http://shebbykondo.blogspot.com/2009/12/kwa-kina-ngosha-kunabadilika.html
Karibu sana katika blog yangu, Waweza kutoa maoni yako kadha wa kadhalika. Tuesday, 8 December 2009. KWA KINA NGOSHA KUNABADILIKA! Ama kwa hakika jiji la Mwanza linapendeza kwa sasa, hivi karibuni lilitangazwa kuwa ni jiji safi nchini Tanzania hapa ni eneo mojawapo la jijini humo karibu na jengo la Schumann's Garage. Picha hizi kwa hisani ya. Http:/ mtangazaji.blogspot.com/. Posted by SHABANI O. KONDO. Hii ni hamasa kwa watu kwenda kutembelea huko jiji safi. 8 December 2009 at 18:22. HIVI SASA NI SAA.